Malengo

Malengo

Afisi Ya Rais Kazi Uchumi Na Uwekezaji ilijiwekea malengo yafuatayo:-

  1. Kukuza na Kusimamia Uwekezaji kwa Maendeleo ya Nchi
  2. Kubuni fursa za ajira nchini na kusimamia upatikanaji wa ajira za staha hasa katika Sekta Binafsi
  3. Kusimamia utekelezaji wa Mikataba ,Sharia na Kanuni za Kazi za kitaifa , Kikanda Na Kimataifa na kuimarisha mahusianio mazuri ya kazi miongoni mwa Serikali,Sekta Binafsi,Waajiri na Vyama vya Wafanyakazi
  4. Kuimarisha Usalama na Afya kazini
  5. Kukuza na kusimamia Maendeleo ya Vyama vya Ushirika
  6. Kukuza na kuimarisha mashirikiano baina ya Sekta Ya Umma Na Sekta binafsi
  7. Kuratibu uandaaji na utekelezaji wa Sera ,Sharia ,Program Na Tafiti zinazohusiana na masuala ya Kazi ,Ajira ,Uwekezaji,Mashirikiano Baina Ya Sekta ya Umma Na Sekta Binafsi Na Uwezeshaji
  8. Kuimarisha uratibu,mashirikiano,ufatiliaji na tathmini ya shughuliza Afisi pamoja na kuelimisha jamii juu ya shughuli za Afisi kupitia Mfumo wa TEHAMA
  9. Kuimarisha ufanisi wa kiutendaji na maslahi ya Wafanyakazi wa Afisi